Monday, January 9, 2017


UONGOZI WA TAIFAJIPYA BLOG UNAWATAKIA WOTE WAPENZI WETU KHERI YA MWAKA MPYA NA UNAHIDI MAMBO MENGI MAZURI KWA MWAKA 2017 NI MWAKA WA KUTIMIZA NDOTO KWA WATOTO WETU NA KUWAFANYA WAWEWENYE FURAHA ZAIDI,

BLOG YETU ITADILI NA WATOTO WA UMRI 0 MPAKA  MIAKA 18  KATIBA YETU YA NCHI INASEMA MTOTO WA MWENYE UMRI WA MIAKA 18 NI MTU MZIMA.

WAZAZI, WALEZI KARIBUNI SANA KWA KUTUFIKISHIA TAARIFA ZA WATOTO AMBAO MTAMPENDA WAONEKANE NA KUSHIRIKI KWENYE PROJECT ZETU MBALI MBALI AMBAZO TUTAKUA NAZO KWA MWAKA HUU 2017.

KWA MAWASILIANO ZAIDI WHATSAAP KWA NAMBA +255 714 044 877.